`

WAKULIMA WA KAHAWA WILAYANI TARIME WATAKIWA KUBORESHA KILIMO CHA ZAO KWA KUFUATA KANUNI ZA KILIMO BORA.

NA MWANDISHI WETU,

TARIME:

WAKULIMA WA ZAO LA KAHAWA WILAYANI TARIME WATAKIWA KUBORESHA KILIMO CHA ZAO KWA KUFUATA KANUNI ZA KILIMO BORA WALIZOFUNDISHWA KWA LENGO LA KUZALISHA KAHAWA YENYE TIJA IKIWA NI PAMOJA NA KUONDOKANA UMASIKINI WA KIPATO.

KAULI HIYO ILITOLEWA HIVI KARIBUNI NA MENEJA WA TAASISI YA UTAFITI WA KAHAWA TANZANIA TACRI BI: SHEIRA MDEMU KATIKA SEMINA YA MAFUNZO JUU YA UTUMIAJI WA SITAKABADHI GHALANI KWA VIONGOZI WA VYAMA VYA MSINGI NA USHIRIKA.


AIDHA AMESEMA WANAZALISHA MICHE CHOTARA ISIYOSHAMBULIWA NA MAGONJWA KWA LENGO LA KUPUNGUZA GHALAMA ZA UTUMIAJI WA DAWA UKU AKIDAI ASILIMIA KUBWA WAKULIMA HAWATUMIA DAWA KATIKA MASHAMBA YAO KWA LENGO LA KUUA WADUDU WAHARIBIFU KWANI WADUDU HAO UHARIBU UBORA WA KAHAWA HIZO.


KWA UPANDE WAKE AFISA KILIMO, USHIRIKA NA UMWAGILIAJI BW SILIVANUS GWIBOHA AMEWATAKA VIONGOZI KUWA NA SHAMBA LA MFANO KWA LENGO LA KUMSHAWISHI MKULIMA WA KAWAIDA.


KWA HATUA NYINGINE GWIBOHA AMEKEMEA VIKALI BAADHI YA TABIA ZA WAKULIMA KUUZA KAHAWA KWA KUTUMIA VIPIMO VISIVYO RASMI KISHERIA JAMBO AMBALO AMESEMA KUWA MNUNUZI ANAKUWA ANAMNYONYA MKULIMA AMBAPO AMEWATAKA WOTE WENYE TABIA KAMA HIYO KUACHA MARA MOJA.


HATA HIVYO GWIBOHA AMETOA WITO KWA WAKULIMA WA ZAO LA KAHAWA KUTHAMINI ZAO ILI WAWEZE KUONDOKANA NA CHANGAMOTO ZA GHARAMA ZA MAISHA IKIWA NI PAMOJA NA KUONGEZA USHINDANI KWA WAFANYABIASHA WA ZAO HILO

HATA HIVYO SEMINA HIYO IMEANDALIWA NA BENK YA NMB TAWI LA TARIME NA KUFANYIKA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA GOLDLAND HOTEL ILIYOPO WILAYANI TARIME MKOANI MARA.

ENDELEA KUSOMA MKASA WA FABBY SEHEMU YA TATU BOFYA HAPA.



NIWAOMBE RADHI WASOMAJI WA MKSA HUU KUWA HAUKUWEZA KWENDA HEWANI JANA IJUMAA KUTOKANA NA TATIZO LA KIUFUNDI KIDOGO LAKINI KWA SASA MAMBO YAKO SAFI ENDELEAKUBURUDIKA

SEHEMU YA TATU YA FABBY

BAADA YA TUKIO HILO LA FABI KUONANA NA KIUMBE HUYO WA PILI KWELI ILIMSHTUA SANA LAKINI AKAWA HAELEWI KUHUSU HAWA VIUMBE KWAMBA WAPO PAMOJA AU LAA.

ANASEMA SIKU HIYO ILIPITA PASIPO KUONANA NAYE TENA JAPO MUDA WOTE AKIWA CHUMBANI FABBY ALIHISI YULE KIUMBE ATARUDI LAKINI HAIKOTOKEA KWA SIKU HIYO.

BAADA YA KUPITA SIKU KADHAA AKIWA NJE MIDA YA SAA TANO USIKU AMBAPO ANASEMA ALIKUWA NA MAZOEA YA KUFANYAFANYA MAZOEZI NYAKATI ZA JIONI KABLA YA KUOGA NA KULALA SASA KWA SIKU HII BAADA YA MAZOEZI KIDOGO AKAWA AMEPUMZIKA PALE NJE YA NYUMBA NA BAADAE AKATAKA KWENDA NDANI LAKINI ALIPOAMKA TU ANATAKA KUINGIA NDANI GHAFLA ALISIKIA KUNA SAUTI INAMUONGELESHA NA ILE SAUTI ALIITAMBUA KUWA NI YA YULE KIUMBE MTATA

JAMAA ANASEMA ALISIKIA INAMWAMBIA WAONANE SEHEMU FLANI (JINA NITALIHIFADHI) AMBAPO NI UFUKWENI MIDA YA USIKU FABI ANASEMA ALIJIKUTA TU ANAMJIBU KUWA HATAKI LAKINI SAUTI ILE ILIMSIHI NA KUMWAMBIA HAKUNA LOLOTE BAYA LITAKALOMTOKEA KWANI ITAKUWA KARIBU NAYE IKIMWEKEA ULINZI LAKINI JAMAA ALIKATAA NA KUINGIA NDANI.

FABBY ANASEMA SIKU HIYO WALIKUWEPO NA RAFIKI ZAKE WENGINE AMBAO NI WAPANGAJI WENZAKE WALIKUWA WANAPIGA STORI NDANI MWAKE NA ALIVYOINGIA NDANI AKAWAAMBIA KUHUSIANA NA SUALA HILO AMBAPO WALE RAFIKI ZAKE WAKAMTAKA KUTOKWENDA KWENDA HUKO AMBAPO BAADA YA MAONGEZI YAO KILA MMOJA AKAONDOKA KWENDA KWENYE CHUMBA CHAKE KWAAJILI YA KUJIPUMZISHA.

USIKU HUO HUO MAJIRA YA SAA SABA FABBY AKIWA AMELALA GHAFLA AKASIKIA SAUTI YA MELI KANA KWAMBA YUKO BANDARINI GHAFLA AKASHTUKA NA KUJIKUTA NDANI YA MELI AMBAYO HAJAWAHI KUIONA KATIKA MAISHA YAKE NA ALIPOJARIBU KUITAZAMA VIZURI GHAFLA AKAJIKUTA YUKO KATIKA KATI YA BAHARI NA ALIPOJARIBU KUANGALIA MBELE AKAMUONA YULE KIUMBE MWINGINE (AMBAYE MWENYEWE AMEZOEA KUMUITA MTATA) KWA MARA YA PILI BAADA YA KUMUONA HUYO DADA MTATA HUKU AKIWA ANATAZAMA MBELE MELIINAPOELEKEA HUKU AKIWA AMEMPA MGONGO KAMA KAWAIDA AKAJIKUTA ANABANWA NA KICHEKO AMBACHO ALIJARIBU KUJIZUIA ILI YULE DAD ASIJUE KAMA ANACHEKA.

LAKINI YOTE TISA LAKINI AKAMUONA YULE DADA AKIWA AMEVAA MAVAZI YANAYOMFANANISHA NA MSANII FLANI MKUBWA KAMA BEYONCE AKIPANDA JUKWAANI KWA AJILI YA SHOO HUKU KICHWANI AKIWA AMEVALIA KOFIA NYEUSI YA ROUND AMBAZO WENGI HUPENDA KUZIITA "COW BOY' AU MARLIBORO.

FABBY ALIPOJARIBU KUMUONGELESHA GHAFLA TU ALIJIKUTA YUKO KWENYE JENGO KUBWA SANA LINALOFANANA NA MAJENGO YA KALE AU MAGOFU FLANI WAKATI HUO YULE KIUMBE ALIKUWA AKITEMBEA HUKU FABBY AKIMFUATA NA MARA BAADAYE YULE KIUMBE ALIAMUA KUMSUBIRI FABBY NA ALIPOFIKA AKAANZA KUMUONESHA SEHEMU NYINGI NA ZA KUTISHA SANA NA VINGINE VYA THAMANI SANA HUKU AKIMWAMBIA KUWA "HUU NI UTAWALA AMBAO UTAKUWEPO MUDA UKIFIKA" .

BAADA YA KUSIKIA MANENO YALE FABBY ANASEMA ALIJIKUTA ANAMTAMKIA "HIVI MIMI NIMEWAKOSEA NINI MPAKA MNANITESA NAMNA HII" LAKINI YULE KIUMBE ALIMWAMBIA WALA USIWE NA HARAKA SIKU MOJA UTAJUA TU ENDAPO UTAKAMILISHA YALE MASHARTI MATATU FABBY ALIMUULIZA NI MASHARTI GANI HAYO LAKINI YULE KIUMBE HAKUJIBU ALIANGUA KICHEKO AMBACHO KILITOA KELELE YA AJABU AMBACHO HAJWAHI KUKISIKIA TANGU KUZALIWA KWAKE.

LAKINI BAADA YA KICHEKO KILE KUMALIZIKA GHAFLA FABBY AKAJIKUTA AKIWA CHUMBANI KWAKE HUKU AKIWA AMESIMAMA WIMA KATIKA KATI YA CHUMBA.

KUFUATIA TUKIO HILO HAPO HAPO AKAJIKUTA AKIBUBUJIKWA NA MACHOZI NA NDIPO IMANI YA KUWA TUKIO HILO HALIKUWA NDOTO LIKAMJIA.

KITENDO HICHO PIA KILIMFANYA AWE NA RTAFAKARI NYINGI SANA JUU YA ALICHOKIONA KATIKA ILE SAFARI YAKE NA KUANZA KUJIULIZA NI BORA BASI ANGEJIKUTA KITANDANI AMELALA MAANA WAKATI HUO YEYE ALIKUWA BAADA YA KUJIULIZA MASWALI MENGI BILA MAJIBU AKAAMUA KUTEMBE MPAKA KITANDANI KWAKE NA KUKAA NA ALIPOANGALIA SAA YAKE YA UKUTANI AKAKUTA NI SAA KUMI NA MOJA KASORO ALFAJILI.

ANASEMA USINGIZI HAKUUPATA TENA NA KULIPOPAMBAZUKA AKAAMUA KUWASIMULIA WENZAKE JUU YA TUKIO HILO NA SAFARI YAKE HIYO AMBAYO HAKUITARAJIA HALI ILIYOPELEKEA WENZAKE HAO KUANZA KUMSIKITIKIA NA KUMWAMBIA "SASA HIYO NI HATARI KAMA INAFIKIA HATUA YA KUPELEKWA MAENEO KAMA HAYO? BASI UNASHIDA YANI LICHA YA KUMWAMBIA HAUTAKI LAKINI HAIKUWEZEKANA"

MAISHA YALIENDELEA NA MAMBO YA KUTOKEWA NA HAO VIUMBE YAKAWA NI MOJA YA  SEHEMU YA MAISHA YAKE.

LAKINI KWA UPANDE MWENGINE AKAWA ANATOKEWA NA YULE KIUMBE MWINGINE MWENYE MAVAZI YA KISISTA ALIPATA AHUWENI KIDOGO KULIKO ANAPOTOKEWA NA YULE MTATA BASI AMANI HUMPOTEA KUTOKANA NA JINSI ANAVYOTOKEZA NA KUPOTEA KITU AMBACHO HUMUOGOPESHA SANA HALI INAYOMFANYA KUTOZOEA YAANI NGUMU KUZOEA LICHA YA KUWA ALIANZA KUZOEA MAONGEZI YAKE.

JAMAA ANASEMA MAISHA YALIENDELEA LAKINI KUMBE KUNA BAADHI YA VITU AMBAVYO VILIKUWA VINAENDELEA AMBAVYO HAKUWEZA KUVITAMBUA AMBAPO ALIKUJA KUVIGUNDUA BAADAYE ALIPOPATA MPENZI.

ANASEMA ALIPATA DADA MMOJA MBAYE WALIPENDANA SANA AMBAPO KILA NAFASI ILIPOKUWA INA PATIKANA WALIKUWA WANASHINDA WOTE PALE HOME YAANI WANAPIKA, WANAKULA NA STORI ZINGINE KIBAO LAKINI INAPOFIKA JIONI YULE DADA ANAONDOKA KURUDI KWAO.

BASI HII IKAWA NI MAZOEA YA YULE DADA YAANI KATIKA SIKU ZILE AMBAZO JAMAA HAENDI KAZINI BASI HUYU DADA ALIKUWA ANAENDA KUSHINDIA KWAKE. LAKINI TABIA NI MATOKEO YA MAZOEA KWA MSINGI HUO BASI DADA HUYU ALIJIKUTA WAKATI MWINGINE JAMAA ANAPOONDOKA ANAMUACHA PALE HOME NAYE ANAONDOKA KWA MUDA WAKE.

LAKINI IKAENDA MBELE ZAIDI HATA WAKATI MWINGINE AKAWA ANAENDA PALE "GHETO" HATA KAMA JAMAA HAYUPO NA ANAMSAIDIA MAJUKUMU MENGINE KAMA KUPIKA NA USAFI WA MAZINGIRA PALE HOME.

LAKINI KUMBE KUNA BAADHI YA MAMBO YALIKUWA YANAENDA NDIVYO SIVYO PALE NYUMBANI AMBAYO HUYU DADA YALIKUWA YANAMCHANGANYA AMBAPO KWA HATUA ZA KWANZA HAKUWEZA KUZITAMBUA LAKINI ILIFIKA WAKATI YAKAMSHINDA.

JAMAA ANASEMA SIKU MOJA ANASHANGAA MPENZI WAKE HUYU ANAMWAMBIA " MIMI HAPA KWAKO SIPAELEWIELEWI YAANI KUNA MATUKIO YA AJABU AJABU NA MARA NYINGI YANATOKEA UKIWA HAUPO KWAHIYO MIMI SITAWEZA TENA KUKAA HAPA KWAKO KAMA WEWE HAUPO".

JAMAA AKAMUULIZA KUNA SHIDA GANI?. YULE DADA ALIANZA KUMSIMULIA BAADHI YA MATUKIO YANAYOTOKEA PALE NYUMBANI.

AKASEMA " UNAJUA KUANZIA SIKU YA KWANZA NAFIKA HAPA KWAKO NA KUKUTA JINSI ULIVYOKUWA UMETANDIKA KITANDA CHAKO KWELI NILIVUTIWA SANA MAANA KILIKUWA KIMEPENDEZA SANA, KWAHIYO SIKU ZOTE NIMEKUWA NIKIKUAMINIA JINSI UNAVYOTANDIKA KITANDA LAKINI ILIFIKIA WAKATI BAADA YA KUKUZOEA NA TUNAPOKUWA PAMOJA TUKITOKA KITANDANI UKITANDAKA NI TOFAUTI SANA NA VILE AMBAVYO HUWA NAKIKUTA.

ANASEMA NIKAHISI KUWA LABDA HUWA UNAFANYA BLABLA LAKINI BAADAE NILIKUJA KUGUNDUA HATA SUALA LA KUTANDIKA KITANDA WEWE NI MZITO SANA". 

ALIENDELEA KUMWAMBIA JAMA KUWA SIKU MOJA ALIFIKA PALE NA KUMKUTA JAMAA AKIWA BADO AMELALA NA BAADA YA MUDA JAMAA ALIAMKA NA KUMUAGA MPENZI WAKE KUWA YEYE ANAKWENDA AMBAPO DADA HUYU ANASEMA ANAKUMBUKA KABISA JAMAA ALIAMKA KITANDANI AKAJIANDAA NA KUONDOKA.

HUYU DADA AKIWA PALE NYUMBANI ALIANZA KUFANYA SHUGHULI NYINGINE AMBAPO ALITOA VYOMBO NJE ILI AVIOSHE NA KISHA NDIO AANZE USAFI WA NDANI. ALIPOMALIZA KUOSHA VYOMBO NA KUINGIA NDANI ALIKUTA KITANDA KIMETANDIKWA TENA VIZURI SANA. HUYU DADA ALISHTUKA KIDOGO LAKINI BAADAE AKAWAZA LABDA JAMAA KABLA YA KUONDOKA ALITANDIKA, BASI TUKIO HILI NALO LIKAPITA

SIKU NYINGINE HUYU DADA ALIKUWA PALE NYUMBANI AKIMSAIDIA JAMAA SHUGHULI ZA USAFI NA KUMUANDALIA MSOSI WAKATI HUO JAMAA ALIKUWA AMEENDA KAZINI NA KAMA UNAVYOJUA WANAWAKE, YAANI WANAFANYA KAZI NYINGI KWA WAKATI MMOJA. 

SASA DADA HUYU ALIKUWA AMEINJIKA MBOGA JIKONI KISHA AKAENDA NJE KUFUA LAKINI AKAWA AMEPITIWA BAADAE ALIKURUPUKA KWENDA NDANI KUITOA MBOGA JIKONI AMBAPO ALIJUA MOJA KWA MOJA ITAKUWA IMEUNGUA VYA KUTOSHA.

LAKINI CHA AJABU ALIPOFIKA JIKONI ALIKUTA MBOGA AMEEPULIWA NA JIKO LIMEZIMWA.

TUKIO HILI LILIMSHTUA SANA HUYU DADA AKAANZA KUWAZA  ALIINGIA KUEPUA KASAU, LAKINI KILA ANAPOJIULIZA ANAONA SIO KAMA UNAVYOJUA MAWAZO YAKIWA MBALI HUWEZI UKAPATA MSHTUKO HUU MAPEMA BASI SIKU HIYO NAYO IKAPITA.

LAKINI KESHO YAKE TENA HUYU DADA ALIKUWA AMEBAKI PALE HOME. 

WAKATI MMOJA AKIWA SEBULENI MEZANI KULIKUWA NA BIRIKA LA MAJI YA KUNYWA BASI ALIENDA AKACHUKUA KIKOMBE ILI ANYWE MAJI

LAKINI WAKATI ANAMIMINA MAJI KWENYE KIKOMBE ASEMA KIASI ALICHOKUWA ANAMIMINA SI SAWA NA MAJI YALIYOKUWA YANAINGIA KWENYE KIKOMBE.

ANASEMA MAJI YALITOKA KAMA YANAMWAGWA YAANI KIKOMBE KIKAJAA NA MAJI KIBAO YAKAMWAGIKA. HAPO NDO ALIJUA MAMBO HAYAENDI SAWA.

BASI KIMYA KIMYA ALIAMKA AKARUDISHIA MLANGO AKASEPA YAANI HATA MAJI HAKUNYWA WALA HAKUFUTA YALE YALIYOMWAGIKA.

KWA MATUKIO HAYA BASI ALIFIKIA UAMUZI WA KUMWAMBIA JAMAA “YAANI HAPA HUNIACHI TENA UKIONDOKA TU KWENDA KAZINI NA MIMI NASEPA”

JAMAA ANASEMA WALIPIGA STORI NYINGI SANA AMBAPO ILIBIDI AMSIMULIE KILA KITU KINACHOENDELEA KATIKA MAISHA YAKE KUANZIA MAMBO YALIVYOANZA NA AKAMWAMBIA KUWA MWANZONI ALITAKA KUMUELEZA LAKINI AKAHISI ATAOGOPA NA ATASHINDWA KUKAA KARIBU NA JAMAA. 

LAKINI TOFAUTI JAMAA ALIVYOMDHANIA, HUYU DADA  ALIHUZUNIKA SANA HATA MACHOZI YAKAWA YANAMTOKA TU BILA KIKOMO.
   
ENDELEA KUFUATILIA KISA CHA FABBY KWENYUE JICHO LA MDADISI.BLOGSPOT.COM 

KILA JUMANNE NA IJUMAA




JANUZAJ AKUBALI KUITUMIKIA TIMU YA TAIFA YA UBELGIJI.





                                                          KINDA LA MAN U ADNAN JANUZAJI AKIFANYA MAVITU YAKE.


CHIPUKIZI WA MANCHESTER UNITED ADNAN JANUZAJ AMEAMUA KUICHEZEA BELGIUM KWENYE MECHI ZA KIMATAIFA.

HABARI HIZI ZIMETHIBITISHWA NA KOCHA WA BELGIUM, MARC WILMOTS, AMBAE ALIFUNGUKA KWENYE TWITTER.

JANUZAJ, MIAKA 19, ALIZALIWA BRUSSELS, BELGIUM KWA WAZAZI WENYE ASILI YA KOSOVO NA ALBANIA.

KUFUATANA NA MIZIZI YAKE, JANUZAJ ANGEWEZA KUZICHEZEA KOSOVO, ALBANIA, TURKEY, SERBIA NA HATA ENGLAND KWA MIAKA YA BAADAE.

MWISHO..

MUSOMA KUINGIA KWENYE MFUMO WA DIGITAL APRIL 30 SAA SITA USIKU.



MUSOMA:

MAANDALIZI YA KUZIMA MITAMBO YA ANALOJIA YA UTANGAZAJI WA TELEVISION KWA MJI WA MUSOMA MKOANI MARA YAMEKAMILIKA KWA KUWASHIRIKISHA WADAU WA SEKTA YA UTANGAZAJI.

AWAMU HII INAHUSISHA MIKOA YA MARA NA KAGERA NA HII NI BAADA YA ZOEZI HILO KUKAMILIKA KATIKA MIKOA YA SINGIDA NA TABORA

MITAMBO ITAZIMWA SAA SITA KAMILI USIKU WA TAREHE 30 APRIL, 2014 HUKU KUWEPO UTANGAZAJI WA MFUMO WA ANALOJIA PAMOJA NA KIDIJITI KWENYE ENEO HUSIKA, UPATIKANAJI VINGAMUZI NA UWEPO WA CHANELI TANO ZA KITAIFA KWENYE MFUMO WA KIDIJITI VIKITUMIKA KAMA VIGEZO VYA ZOEZI HILO.

MENEJA MAWASILIANO WA MAMLAKA YA MAWASILIANO NCHINI (TCRA) BW INNOCENT MUNGY AMEELEZA KUWA MAENEO AMBAYO HAYANA MIUNDO MBINU YA DIJITALI HAYATAZIMWA KWASASA HADI YAPATE DIJITALI HUKU AKISISITIZA KUWA MABADILIKO HAYO HAYAHUSU MATANGAZO KWA NJIA YA UTANGAZAJI WA SATELAITI, WAYA (CABLE) NA REDIO.

ZOEZI HILO LINAKUJA HUKU KUKIWA NA CHANGAMOTO YA GHARAMA ZA VINGAMUZI AMBAPO WANANCHI HASA WAKIPATO CHA CHINI WAKISHINDWA KUMUDU KUNUNUA NA KULIPIA VIFURUSHI VYA KILA MWEZI

AIDHA MAMLAKA YA MAWASILIANO (TCRA) IMEAGIZA WATOA HUDUMA ZA KUSAMBAZA VINGAMUZI WALIOKO MJINI MUSOMA KUHAKIKISHA KUWA KUNAKUWA NA VINGAMUZI VYA KUTOSHA.


MWISHO........

MABWENI SEKONDARI IVUMWE MKOANI MBEYA YATEKETEA KWA MOTO BOFYA HAPA UJIONEE.



MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI DK. VICTOR KANAMA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WALIOFIKA KWENYE TUKIO HILO

 BAADHI YA WANAFUNZI WAKIWA KATIKA HALI YA TAHARUKI BAADA YA TUKIO HILO
MASIKINI VITANDA VIKIONEKANA BAADA YA KUUNGUA VIBAYA.
                               MMOJA WA WANAFUNZI AKIONEKANA MWENYE MAJONZI
                                                       BAADHI YA VITU VILIVYOOKOLEWAA
                  SEHEMU YA MBELE ILIYONUSURIKA NA JANGA HILO LA MOTO.

Bweni Moja  la Wavulana lenye vyumba zaidi ya  Sita  katika shule ya Sekondari ya Ivumwe  inayomilikwa na Chama Cha Mapinduzi limeteketea kwa moto.

Tukio hilo limetokea leo April 23  majira ya saa3 asubuhi jijini Mbeya   wakati wanafunzi hao wakiwa madarsani kuendelea na masomo yao kama kawaida.

Akizungumza katika eneo la Tukio hilo Mwenyekiti wa Bodi ya Shule hiyo Daktari Victory Kanama amesema kuwa moto huo umeanza majira ya saa3 asubuhi wakati teyari wanafunzi wakiwa madarasani.

Amesema taarifa za kuungua kwa moto huo zilitolewa na mmoja wa wananchi waliokuwa wakipita pembezoni mwa Mambweni hayo ambapo katika maelezo yake alieleza kuwa ameona moshi mkubwa ukitokea ndani ya mabweni hayo.

Amesema mara baada ya kupata habari hizo   walitoa taarifa kwa kikosi cha zimamoto ambacho kilifika mara moja na kuanza juhudi za kuuzima moto huo.

Amesema pamoja na kikosi hicho cha zimamoto kufika shuleni hapo mapema na kuzima moto huo lakini teyari moto huo ulikwisha teketeza asilimian kuwabwa ya mali zilizomo katika mabwani hayo.

Amesema kwa kiwango kikubwa vitu vingi vimeteketea kwa moto huo  hususani vitanda na magodoro ambayo ndiyo yaliyoungua vibaya  pamoja na vitu vingine vya wanafunzi hao.

Aidha kwa mujibu wa Dakta Kanama hakuna mwanafunzi yoyote aliye poteza maisha kutokana tukio hilo licha ya mmoja wa wanafunzi kujeruhiwa mkononi na kitu kinacho dhaniwa kuwa ni kioo katika harakati za kuokoa vitu ambapo teyari amekwisha fikishwa hospitali kwa ajili ya kupatiwa matibabu.

Aidha kwa upande wake Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mbeya Ndugu Fatma Asenga amesema mabweni hayo yalichukua jumla ya wanafunzi 160  ambao ni wavulana huku chanzo cha moto huo kikiwa bado bado hakijajulikana.

Amesema  kwa sasa juhudi zinazofanyika na Chama kwa kushirikiana na uongozi wa shule hiyo  ili kuangalia uwezekano wa haraka wa kuwahifadhi wanafunzi hao.  Amesema litatengwa darasa moja kwa muda ambalo litatumika kama bweni wakati wakiendela kufanya utaratibu mwingine.

Mwisho.

Picha habari na jamiimojablog
Bweni Moja  la Wavulana lenye vyumba zaidi ya  Sita  katika shule ya Sekondari ya Ivumwe  inayomilikwa na Chama Cha Mapinduzi limeteketea kwa moto.
Tukio hilo limetokea leo April 23  majira ya saa3 asubuhi jijini Mbeya   wakati wanafunzi hao wakiwa madarsani kuendelea na masomo yao kama kawaida.
Akizungumza katika eneo la Tukio hilo Mwenyekiti wa Bodi ya Shule hiyo Daktari Victory Kanama amesema kuwa moto huo umeanza majira ya saa3 asubuhi wakati teyari wanafunzi wakiwa madarasani.
Amesema taarifa za kuungua kwa moto huo zilitolewa na mmoja wa wananchi waliokuwa wakipita pembezoni mwa Mambweni hayo ambapo katika maelezo yake alieleza kuwa ameona moshi mkubwa ukitokea ndani ya mabweni hayo.
Amesema mara baada ya kupata habari hizo   walitoa taarifa kwa kikosi cha zimamoto ambacho kilifika mara moja na kuanza juhudi za kuuzima moto huo.
Amesema pamoja na kikosi hicho cha zimamoto kufika shuleni hapo mapema na kuzima moto huo lakini teyari moto huo ulikwisha teketeza asilimian kuwabwa ya mali zilizomo katika mabwani hayo.
Amesema kwa kiwango kikubwa vitu vingi vimeteketea kwa moto huo   hususani vitanda na magodoro ambayo ndiyo yaliyoungua vibaya  pamoja na vitu vingine vya wanafunzi hao.
Aidha kwa mujibu wa Dakta Kanama hakuna mwanafunzi yoyote aliye poteza maisha kutokana tukio hilo licha ya mmoja wa wanafunzi kujeruhiwa mkononi na kitu kinacho dhaniwa kuwa ni kioo katika harakati za kuokoa vitu ambapo teyari amekwisha fikishwa hospitali kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Aidha kwa upande wake Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mbeya Ndugu Fatma Asenga amesema mabweni hayo yalichukua jumla ya wanafunzi 160  ambao ni wavulana huku chanzo cha moto huo kikiwa bado bado hakijajulikana.
Amesema  kwa sasa juhudi zinazofanyika na Chama kwa kushirikiana na uongozi wa shule hiyo  ili kuangalia uwezekano wa haraka wa kuwahifadhi wanafunzi hao.
Amesema litatengwa darasa moja kwa muda ambalo litatumika kama bweni wakati wakiendela kufanya utaratibu mwingine.
Mwisho.
- See more at: http://www.jamiimoja.blogspot.com/2014/04/mabweni-ya-shule-ya-sekondari-ya-ivumwe.html#sthash.NOHwcgla.dpufBweni Moja  la Wavulana lenye vyumba zaidi ya  Sita  katika shule ya Sekondari ya Ivumwe  inayomilikwa na Chama Cha Mapinduzi limeteketea kwa moto.

Tukio hilo limetokea leo April 23  majira ya saa3 asubuhi jijini Mbeya   wakati wanafunzi hao wakiwa madarsani kuendelea na masomo yao kama kawaida.

Akizungumza katika eneo la Tukio hilo Mwenyekiti wa Bodi ya Shule hiyo Daktari Victory Kanama amesema kuwa moto huo umeanza majira ya saa3 asubuhi wakati teyari wanafunzi wakiwa madarasani.

Amesema taarifa za kuungua kwa moto huo zilitolewa na mmoja wa wananchi waliokuwa wakipita pembezoni mwa Mambweni hayo ambapo katika maelezo yake alieleza kuwa ameona moshi mkubwa ukitokea ndani ya mabweni hayo.

Amesema mara baada ya kupata habari hizo   walitoa taarifa kwa kikosi cha zimamoto ambacho kilifika mara moja na kuanza juhudi za kuuzima moto huo.

Amesema pamoja na kikosi hicho cha zimamoto kufika shuleni hapo mapema na kuzima moto huo lakini teyari moto huo ulikwisha teketeza asilimian kuwabwa ya mali zilizomo katika mabwani hayo.

Amesema kwa kiwango kikubwa vitu vingi vimeteketea kwa moto huo   hususani vitanda na magodoro ambayo ndiyo yaliyoungua vibaya  pamoja na vitu vingine vya wanafunzi hao.

Aidha kwa mujibu wa Dakta Kanama hakuna mwanafunzi yoyote aliye poteza maisha kutokana tukio hilo licha ya mmoja wa wanafunzi kujeruhiwa mkononi na kitu kinacho dhaniwa kuwa ni kioo katika harakati za kuokoa vitu ambapo teyari amekwisha fikishwa hospitali kwa ajili ya kupatiwa matibabu.

Aidha kwa upande wake Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mbeya Ndugu Fatma Asenga amesema mabweni hayo yalichukua jumla ya wanafunzi 160  ambao ni wavulana huku chanzo cha moto huo kikiwa bado bado hakijajulikana.

Amesema  kwa sasa juhudi zinazofanyika na Chama kwa kushirikiana na uongozi wa shule hiyo  ili kuangalia uwezekano wa haraka wa kuwahifadhi wanafunzi hao.

Amesema litatengwa darasa moja kwa muda ambalo litatumika kama bweni wakati wakiendela kufanya utaratibu mwingine.
Mwisho.
Bweni Moja  la Wavulana lenye vyumba zaidi ya  Sita  katika shule ya Sekondari ya Ivumwe  inayomilikwa na Chama Cha Mapinduzi limeteketea kwa moto.  Tukio hilo limetokea leo April 23  majira ya saa3 asubuhi jijini Mbeya   wakati wanafunzi hao wakiwa madarsani kuendelea na masomo yao kama kawaida.  Akizungumza katika eneo la Tukio hilo Mwenyekiti wa Bodi ya Shule hiyo Daktari Victory Kanama amesema kuwa moto huo umeanza majira ya saa3 asubuhi wakati teyari wanafunzi wakiwa madarasani.  Amesema taarifa za kuungua kwa moto huo zilitolewa na mmoja wa wananchi waliokuwa wakipita pembezoni mwa Mambweni hayo ambapo katika maelezo yake alieleza kuwa ameona moshi mkubwa ukitokea ndani ya mabweni hayo.  Amesema mara baada ya kupata habari hizo   walitoa taarifa kwa kikosi cha zimamoto ambacho kilifika mara moja na kuanza juhudi za kuuzima moto huo.  Amesema pamoja na kikosi hicho cha zimamoto kufika shuleni hapo mapema na kuzima moto huo lakini teyari moto huo ulikwisha teketeza asilimian kuwabwa ya mali zilizomo katika mabwani hayo.  Amesema kwa kiwango kikubwa vitu vingi vimeteketea kwa moto huo   hususani vitanda na magodoro ambayo ndiyo yaliyoungua vibaya  pamoja na vitu vingine vya wanafunzi hao.  Aidha kwa mujibu wa Dakta Kanama hakuna mwanafunzi yoyote aliye poteza maisha kutokana tukio hilo licha ya mmoja wa wanafunzi kujeruhiwa mkononi na kitu kinacho dhaniwa kuwa ni kioo katika harakati za kuokoa vitu ambapo teyari amekwisha fikishwa hospitali kwa ajili ya kupatiwa matibabu.  Aidha kwa upande wake Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mbeya Ndugu Fatma Asenga amesema mabweni hayo yalichukua jumla ya wanafunzi 160  ambao ni wavulana huku chanzo cha moto huo kikiwa bado bado hakijajulikana.  Amesema  kwa sasa juhudi zinazofanyika na Chama kwa kushirikiana na uongozi wa shule hiyo  ili kuangalia uwezekano wa haraka wa kuwahifadhi wanafunzi hao.  Amesema litatengwa darasa moja kwa muda ambalo litatumika kama bweni wakati wakiendela kufanya utaratibu mwingine. Mwisho.
Bweni Moja  la Wavulana lenye vyumba zaidi ya  Sita  katika shule ya Sekondari ya Ivumwe  inayomilikwa na Chama Cha Mapinduzi limeteketea kwa moto.
Tukio hilo limetokea leo April 23  majira ya saa3 asubuhi jijini Mbeya   wakati wanafunzi hao wakiwa madarsani kuendelea na masomo yao kama kawaida.
Akizungumza katika eneo la Tukio hilo Mwenyekiti wa Bodi ya Shule hiyo Daktari Victory Kanama amesema kuwa moto huo umeanza majira ya saa3 asubuhi wakati teyari wanafunzi wakiwa madarasani.
Amesema taarifa za kuungua kwa moto huo zilitolewa na mmoja wa wananchi waliokuwa wakipita pembezoni mwa Mambweni hayo ambapo katika maelezo yake alieleza kuwa ameona moshi mkubwa ukitokea ndani ya mabweni hayo.
Amesema mara baada ya kupata habari hizo   walitoa taarifa kwa kikosi cha zimamoto ambacho kilifika mara moja na kuanza juhudi za kuuzima moto huo.
Amesema pamoja na kikosi hicho cha zimamoto kufika shuleni hapo mapema na kuzima moto huo lakini teyari moto huo ulikwisha teketeza asilimian kuwabwa ya mali zilizomo katika mabwani hayo.
Amesema kwa kiwango kikubwa vitu vingi vimeteketea kwa moto huo   hususani vitanda na magodoro ambayo ndiyo yaliyoungua vibaya  pamoja na vitu vingine vya wanafunzi hao.
Aidha kwa mujibu wa Dakta Kanama hakuna mwanafunzi yoyote aliye poteza maisha kutokana tukio hilo licha ya mmoja wa wanafunzi kujeruhiwa mkononi na kitu kinacho dhaniwa kuwa ni kioo katika harakati za kuokoa vitu ambapo teyari amekwisha fikishwa hospitali kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Aidha kwa upande wake Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mbeya Ndugu Fatma Asenga amesema mabweni hayo yalichukua jumla ya wanafunzi 160  ambao ni wavulana huku chanzo cha moto huo kikiwa bado bado hakijajulikana.
Amesema  kwa sasa juhudi zinazofanyika na Chama kwa kushirikiana na uongozi wa shule hiyo  ili kuangalia uwezekano wa haraka wa kuwahifadhi wanafunzi hao.
Amesema litatengwa darasa moja kwa muda ambalo litatumika kama bweni wakati wakiendela kufanya utaratibu mwingine.
Mwisho.
- See more at: http://www.jamiimoja.blogspot.com/2014/04/mabweni-ya-shule-ya-sekondari-ya-ivumwe.html#sthash.NOHwcgla.dpuf
Bweni Moja  la Wavulana lenye vyumba zaidi ya  Sita  katika shule ya Sekondari ya Ivumwe  inayomilikwa na Chama Cha Mapinduzi limeteketea kwa moto.
Tukio hilo limetokea leo April 23  majira ya saa3 asubuhi jijini Mbeya   wakati wanafunzi hao wakiwa madarsani kuendelea na masomo yao kama kawaida.
Akizungumza katika eneo la Tukio hilo Mwenyekiti wa Bodi ya Shule hiyo Daktari Victory Kanama amesema kuwa moto huo umeanza majira ya saa3 asubuhi wakati teyari wanafunzi wakiwa madarasani.
Amesema taarifa za kuungua kwa moto huo zilitolewa na mmoja wa wananchi waliokuwa wakipita pembezoni mwa Mambweni hayo ambapo katika maelezo yake alieleza kuwa ameona moshi mkubwa ukitokea ndani ya mabweni hayo.
Amesema mara baada ya kupata habari hizo   walitoa taarifa kwa kikosi cha zimamoto ambacho kilifika mara moja na kuanza juhudi za kuuzima moto huo.
Amesema pamoja na kikosi hicho cha zimamoto kufika shuleni hapo mapema na kuzima moto huo lakini teyari moto huo ulikwisha teketeza asilimian kuwabwa ya mali zilizomo katika mabwani hayo.
Amesema kwa kiwango kikubwa vitu vingi vimeteketea kwa moto huo   hususani vitanda na magodoro ambayo ndiyo yaliyoungua vibaya  pamoja na vitu vingine vya wanafunzi hao.
Aidha kwa mujibu wa Dakta Kanama hakuna mwanafunzi yoyote aliye poteza maisha kutokana tukio hilo licha ya mmoja wa wanafunzi kujeruhiwa mkononi na kitu kinacho dhaniwa kuwa ni kioo katika harakati za kuokoa vitu ambapo teyari amekwisha fikishwa hospitali kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Aidha kwa upande wake Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mbeya Ndugu Fatma Asenga amesema mabweni hayo yalichukua jumla ya wanafunzi 160  ambao ni wavulana huku chanzo cha moto huo kikiwa bado bado hakijajulikana.
Amesema  kwa sasa juhudi zinazofanyika na Chama kwa kushirikiana na uongozi wa shule hiyo  ili kuangalia uwezekano wa haraka wa kuwahifadhi wanafunzi hao.
Amesema litatengwa darasa moja kwa muda ambalo litatumika kama bweni wakati wakiendela kufanya utaratibu mwingine.
Mwisho.
- See more at: http://www.jamiimoja.blogspot.com/2014/04/mabweni-ya-shule-ya-sekondari-ya-ivumwe.html#sthash.NOHwcgla.dpuf
Bweni Moja  la Wavulana lenye vyumba zaidi ya  Sita  katika shule ya Sekondari ya Ivumwe  inayomilikwa na Chama Cha Mapinduzi limeteketea kwa moto.
Tukio hilo limetokea leo April 23  majira ya saa3 asubuhi jijini Mbeya   wakati wanafunzi hao wakiwa madarsani kuendelea na masomo yao kama kawaida.
Akizungumza katika eneo la Tukio hilo Mwenyekiti wa Bodi ya Shule hiyo Daktari Victory Kanama amesema kuwa moto huo umeanza majira ya saa3 asubuhi wakati teyari wanafunzi wakiwa madarasani.
Amesema taarifa za kuungua kwa moto huo zilitolewa na mmoja wa wananchi waliokuwa wakipita pembezoni mwa Mambweni hayo ambapo katika maelezo yake alieleza kuwa ameona moshi mkubwa ukitokea ndani ya mabweni hayo.
Amesema mara baada ya kupata habari hizo   walitoa taarifa kwa kikosi cha zimamoto ambacho kilifika mara moja na kuanza juhudi za kuuzima moto huo.
Amesema pamoja na kikosi hicho cha zimamoto kufika shuleni hapo mapema na kuzima moto huo lakini teyari moto huo ulikwisha teketeza asilimian kuwabwa ya mali zilizomo katika mabwani hayo.
Amesema kwa kiwango kikubwa vitu vingi vimeteketea kwa moto huo   hususani vitanda na magodoro ambayo ndiyo yaliyoungua vibaya  pamoja na vitu vingine vya wanafunzi hao.
Aidha kwa mujibu wa Dakta Kanama hakuna mwanafunzi yoyote aliye poteza maisha kutokana tukio hilo licha ya mmoja wa wanafunzi kujeruhiwa mkononi na kitu kinacho dhaniwa kuwa ni kioo katika harakati za kuokoa vitu ambapo teyari amekwisha fikishwa hospitali kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Aidha kwa upande wake Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mbeya Ndugu Fatma Asenga amesema mabweni hayo yalichukua jumla ya wanafunzi 160  ambao ni wavulana huku chanzo cha moto huo kikiwa bado bado hakijajulikana.
Amesema  kwa sasa juhudi zinazofanyika na Chama kwa kushirikiana na uongozi wa shule hiyo  ili kuangalia uwezekano wa haraka wa kuwahifadhi wanafunzi hao.
Amesema litatengwa darasa moja kwa muda ambalo litatumika kama bweni wakati wakiendela kufanya utaratibu mwingine.
Mwisho.
- See more at: http://www.jamiimoja.blogspot.com/2014/04/mabweni-ya-shule-ya-sekondari-ya-ivumwe.html#sthash.NOHwcgla.dpuf

JENGO LA TAKUKURU MKOANI MARA LAZINDULIWA RASMI HII LEO.

KUSHOTO NI KAMANDA TAKUKURU MKOANI MARA OLE MAKUNGU NA MKUU WA TAKUKURU NCHINI EDWARD HOSEA.

                               MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU EDWARD HOSEAH AKIINGIA
                                         JENGO JIPYA LA TAKUKURU MKOANI MARA.

PICHA NA BINDA BLOG:





MUSOMA:


TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA MKOANI MARA, LEO IMEZINDUA RASMI JENGO LAKE LILLILOPO KATIKA MAENEO YA BARUTI KATIKA MANISPAA YA MUSOMA.


AKIZUNGUMZA KATIKA SHEREHE ZA UZINDUZI WA JENGO HILO MKURUGENZI MKUU YA TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA NCHINI, DKT EDWARD HOSSEAH AMESEMA MIKAKATI YA KUDUMU NA ENDELEVU AMBAYO IMEWEKWA NA TAASISI HIYO NI PAMOJA  KUJENGA OFISI TATU KWA KILA MWAKA NA KUONGEZA KUWA HADI SASA TAASISI HIYO IMEJENGA JUMLA YA MAJENGO 13  KATIKA MIKOA MBALIMBALI HAPA NCHINI.


KATIKA HOTUBA YAKE HOSSEAH AMESEMA TAASISI HIYO BADO INAENDELEA NA UJENZI WA OFISI ZAKE KATIKA MIKOA YA MBEYA, KIGOMA, NA KATIKA WILAYA MKINGA YA MKOANI PWANI HUKU AKIWATAKA WATUMISHI WA TAKUKURU NCHINI KOTE KUTUNZA MAJENGO HAYO VIZURI ILI YAWEZE KUHUDUMIA VIZAZI VIJAVYO NA KUAHIDI KUTOA SAMANI NA VITENDEA KAZI VITAKAVYOENDANA NA MAJENGO HAYO.


HATA HIVYO DKT HOSSEAH AMEONGEZA KUWA TAKUKURU IMEAZIMIA KUONGEZA KASI KATIKA VITA YA KUPAMBANA NA RUSHWA KWA KUSHIRIKIANA NA MIHIMILI YOTE MITATU YA DOLA AMBAYO NI SERIKALI, BUNGE, NA MAHAKAMA KATIKA KUDHIBITI VITENDO VISIVYO VYA UADILIFU NA RUSHWA.


AIDHA DKT HOSSEAH AMEBAINISHA KUWA KATIKA JITIHADI AMBAZO ZIMEFANYWA NA TAKUKURU KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA KWA KIPINDI CHA MWEZI JANUARI HADI DESEMBA MWAKA 2013, TAASISI HIYO IMEFANIKIWA KUFUNGUA KESI MPYA ZAIDI YA 370  KUPITIA UCHUNGUZI WAKE NA KUFANIKIWA KUOKOA KIASI CHA SHILINGI BILIONI NNE MILIONI MIA MBILI THELATHINI NA TANO LAKI NNE NA ELFU KUMI NA MOJA MIATANO TISINI NA MOJA.

MWISHO.....


ENDELEA KUFUATILIA MKASA WA KIJANA FABBY KUTOKA MTWARA SEHEMU YA PILI BOFYA HAPA.

MKASA SEHEMU YA PILI...............




FABI ALIPOTAKA KUINGIA NDANI GHAFLA ALISIKIA KAMA KUNA MTU ANAMGUSA BEGANI LAKINI ALIPOGEUKA NYUMA HAKU HAKUONA MTU KISHA AKASIKIA TENA KAGUSWA BEGA JINGINE ALIPOGEUKA ALIMUONA YULE KIUMBE ANAYEVAA KAMA MASISTA HALI ILIYOMFANYA KUOGOPA KIASI AMBACHO YALE MAJI ALIYOKUWA AMEYABEBA KWAAJILI YA KWENDA KUOGA KUMWAGIKA LAKINI HATA HIVYO KUONEKANA KWA HUYO SISTA HAKUKUWA KWA KUSHIRIA SHARI KWANI ALIKUWA KIMTAZAMA KIJANA HUYO KWA HURUMA KUBWA NA HIVYO KUMFANYA KUDUWAA KWA DAKIKA KASHAA HIVI HUKU AIJUE NINI CHA KUFANYA.

AKIWA NAENDELEA KUMTAZAMA YULE SISTA GHAFLA ALITOA KITU NA KUMUONESHA NA ALIPOTAZAMA KWA UMAKINI ALIONA KAMA NOTI TATUI ZIKIWA NA RANGI TOFAUTINA ALIPOZITAZAMA KAMA HELA HIZO NI ZA WAPI HAKUWEZA KUZITAMBUA KUWA ZILIKUWA NI ZA NCHI GANI MAANA HATA HAZIKUWA ZA TANZANIA JAPO KWA KUZITAZAMA ALIZIONA KUWA ZILIKUWA NI HELA LAKINI PAMOJA NA FABBY KUENDELEA KUZICHUNGUZA YULE SISTA ALIENDELEA KUMUONESHA TU ZILE NOTE PASIPO HATA KUMUONGELESHA JAMBO LOLOTE KISHA AKATOWEKA KAMA KAWAIDA YAKE, HUKU AKISINDIKIZWA NA MWANGA MKALI.

WAKATI FABBY AKIWA AMESIMAMA KATIKA MLANGO WA BAFU KWA MUDA HUKU AKIJIULIZA JUU YA JAMBO LILILOJITOKEZA NA HAYO YANAYOMTOKEA PASI NA KUPATA MAJIBU HUKU AKIENDELEA KUTAFAKARI KICHWANI KWAKE GHAFLA AKAANZA KUTOKWA NA MACHOZI KUTOKANA NA MAMBO HAYO BASI AKAINAMA NA KUCHUKUA NDOO YAKE TUKUMBUKE KUWA WAKATI ANAMUONA YULE MTU ALIYEVALIA VAZI LA KISISTA MAJI ALIYOKUWA ANAENDA NAYO BAFUNI YALIMWAGIKA HIVYO AKAAMUA KURUDI TENA BOMBANI ILI AKACHOTE YTENA MAJI ILI AKAOGE WAKATI ANASHUKA NGAZI ZA BAFU AKASIKIA SAUTI YA MWANAMKE INAMUITA NA ALIPOTAZAMA TU AKAKUTA NI BINTI AMBAYE YEYE ANAMFAHAMU KAMA NI JIRANI YAKE PALE ANAPOISHI.

BINTI YULE ALIMSOGELEA KISHA AKAMPATIA KIASI CHA SHILINGI ELFU THELATHINI NA ZILIKUWA NOTI TATU ZA ELFU KUMI NA BINTI HUYO AKAMWAMBIA MAMA KANITUMA NIKULEE.

FABBY AKAPOKEA KIASI HICHO CHA FEDHA PASIPO NA SWALI LA ZIADA KWANI ALIKUWA AKIFAHAMU FIKA FEDHA HIYO LILIKUWA NI ALILOKUWA AKIMDAI MAMA WA MTOTO HUYO WAKATI MAMA HUYO ALIPOKWENDA KUKOPA NGUO.

FABBY AKATEMBEA HATUA KADHAA LAKINI KABLA YA KUINGIA NDANI AKAAMUA KUKAA KWENYE NGAZI ZA KUINGILIA NDANI, HUKU AKIJWA NA MAWAZO JUU YA MATUKIO HAYO YA HARAKA KIASI HICHO KISHA AKAANZA KUZIANGALIA ZILE FEDHA TENA  NA KUJIULIZA IWEJE YULE KIUMBE AMTOKEE NA HUKU AKIWA AMESHIKA NOTI TATU NA MUDA SI MREFU AKALETEWA FEDHA HUKU ZIKIWA NI NOTI TATU INGAWA NI TOFAUTI NA ZILE ZA YULE SISTA? ALIENDELEA KUJIULIZA.

LAKINI WAKATI BADO AKIWA MLANGONI MAMA YAKE ALITOKA NJE NA KUMKUTA PALE MLANGONI AKAMUULIZA KULIKONI MBONA HATA HUJAOGA, FABBY AKAAMUA KUMJIBU KWA JIBU LENGINE TU WALA WALA SI KAMA ALIVYOOULIZWA AKIWA NA MAANA YA KUMZUGA MAMA YAKE ASIJUE JUU YA KILICHOMTOKEA KWANI ALIHISI KAMA ANGEMJIBU BASI ANGEWEZA KUMSTUA SANA MAMA YAKE NA KISHA KUMPATIA MAMA YAKE ZILE HELA ZOTE ILI AZITUMIE KAMA NAULI KWA LENGO LA KUMSAIDIA MAMAAKE KULE MSIBANI.

BASI BAADA YA MAMA YAKE KUPATIWA FEDHA ALIANZA MAANDALIZI YOTE YA SAFARI KISHA AKAONDOKA KWENDA MSIBANI, NA SIKU INAYOFUATA NAYE KESHO YAKE AKAFANIKIWA KUPATA FEDHA TOKA KWA RAFII YAKE NA KISHA KUUNGANA NA FAMILIA YAKE MSIBANI.

BAADA YA SHUGHULI ZOTE ZA MSIBA KUMALIZIKA HUKU MAJIRANI, MARAFIKI NA WAGENI WENGINE WALIOFIKA MSIBANI MAMA YAKE MZAZI ALIAMUA KUWAITA BAADHI YA NDUGU WALIOKUWA PALE MSIBANI AKAANZA KUWASIMULIA YANAYOMTOKEA KIJANA WAKE AKIMAANISHA FABBY NA HATA NAMNA ALIVYOWEZA KUMJULISHA KUHUSIANA NA TUKIO LA HUO MSIBA.

BAADHI YA NDUGU WALISHANGAA SANA NA KILA MTU AKAWA NA LAKE KUHUSIANA NA MAMBO YANAYOMTOKEA FABBY HUKU WENGINE WAKISHAURI ETII! APELEKWE KWA WAGANGA WA KIENYEJI, WENGINE WALISHAURI APELEKWE KANISANI NA KWINGINEKO KWA AJILI YA MAOMBEZI YAANI KILA MTU AKAWA NA LAKE HATA KUFIKIA WAKATI KUHUSISHA MATUKIO HAYO KUWA YANAENDANA NA BAADHI YA MILA ZA UKOO WAO WAKIAMBATANISHA MATUKIO MBALI MBALI YA KIPINDI CHA NYUMA YALIYOWAHI KUTOKEA KWENYE HUO.

BASI BAADA YA MSIBA FABBY AKAREJEA NYUMBANI KWAO SIKU MOJA MIDA YA MCHANA AKIWA HANA CHA KUFANYA ALIAMUA KUCHUKUA KITI AMABCHO KWA WATU WAKUSINI HUKIITA KITI CHA MALIMBA NA  AKATOKA NACHO NJE NA KWENDA KUKAA KIVULINI KWENYE MTI MMOJA WA MWEMBE HAPO HAPO NYUMBANI KWAO.

ALIKAA HAPO KIVULI KWA MUDA KWA KADHAA LAKINI MWISHOWE AKAPITIWA NA USINGIZI GHAFLA AKASIKIA KICHEKO NYUMA YAKE YAANI KAMA KUNA MTU AMESIMAMA NYUMA YAKE AKIWA ANACHEKA, NA ALISHTUKA AKAONA AGEUKE NA AANGALIE KUNANI ALIPOGEUKA NYUMA ALIMUONA KICHAA MMOJA AKIWA AMEVALIA MAVAZI MACHAFU SANA HUKU AKICHEKA CHEKA OVYO HUKU AKIMTAZAMA FABBY NA HII ILIKUWA IKIMAANISHA KUWA KICHAA HUYO ALIKUWA ANAMCHEKA FABBY.

BAADA YA KUONA HALI HIYO FABBY NAYE AKAANZA KUMTAZAMA YULE KICHAA HUKU AKIJIULIZA HUYU KICHAA ANATOKA WAPI MAANA ALIKUWA MGENI SANA MACHONI PAKE YAANI HAJAWAHI KUMUONA HATA MARA MOJA.

FABBY ANASEMA PAMOJA NA UENYEJI WAKE WOTE PALE MTWARA HAJAWAHI KUMUONA YULE KICHAA HATA MARA MOJA LAKINI ALIPOENDELEA KUMTAZAMA VIZURI ALIMUONA YULE KICHAA AKIWA AMEBEBA  MFUKO WA NAILONI HUKU AKIWA AMEUHIFADHI KATIKA MAZINGIRA YA USAFI TOFAUTI NA ILIVYO KWA KWA WATU WA AINA HIYO.

WAKATI KICHAA AKIWA ANAONDOKA HUKU AKIRUDI NYUMA KICHAA HUYO ALITOA KITABU KIMOJA KWENYE ULE MFUKO, KITABU AMBACHO KILIKUWA KIMETUNZWA VIZURI MNO BAADA YA FABBY KUKIONA KILE KITABU ALIAMUA KUMUOMBA KILE KITABU KWA MAZINGIRA YA KUMTANIA TANIA CHA KUSHANGAZA YULE KICHAA KWA CHEKO ZAKE HICHO HICHO ALIMSOGELEA NA KISHA KUMPATIA FABBY KILE KITABU, NA BAADA YA KUPATIWA KILE KITABU ALIKITIZAMA KWA UMAKINI KILE KITABU LAKINI HAKUKIELEWA MANENO YAKE  NA KILIKUWA KIMEANDIKWA KWA MAANDISHI YA LUGHA YA KILATIN HIVI, NA KUISHIA KUKIFUNUA FUNUA TU NA KISHA AKAAMUA KUMUOMBA KITABU KINGINE.

YULE KICHAA AKATOA KITABU KINGINE NA KUMPATIA FABBY AMBAPO KITABU HIKO KILITOFAUTIANA RANGI NA KILE KITABU CHA MWANZO, NA ALIPOKITAZAMA PIA HAKUKIELEWA JAPO KINAONEKANA NI KITABU SAFI KINA MAANDISHI NA PICHA PICHA ILA LUGHA ILIYOTUMIKA ILIENDELEA KUWA KITENDAWILI KWAKE KUTOKANA NA KUTOIELEWA LUGHA ILIYOTUMIKA.

AKIWA BADO ANATAMANI KUTAZAMA KITABU KINGINE NINI IKIMEANDIKWA NDANI YA KITABU HIKO ALIAMUA KUMUOMBA TENA AMUONESHE KITABU KINGINE KILICHOSALIA YAANI AKAWA ANAMUOMBA LAKINI KWA AWAMU HII YULE KICHAA HAKUONESHA KUJALI AKAWA ANACHEKACHEKA TU NA BAADAYE AKAMKATALIA KABISA KUMUONESHA KITABU HICHO CHA TATU NA KISHA KICHAA HUYO AKAAMUA  KUONDOKA POLE POLE HUKU ANACHEKA BAADA YA KUFIKA HATUA KADHAA NYUMA ALIKITOA KILE KITABU NA AKAMUONESHA FABI YAANI KAMA ANAMRINGISHIA NA FABBY ALIPOKIONA KITABU HICHO KILICHOKUWA NA RANGI NYEKUNDU TOFAUTI NA VITABU VINGINE LAKINI NACHO KAMA KAWAIDA JINSI ALIVYOKUWA ANAKITAZAMA AKASHINDWA KABISA KUIELEWA LUGHA ILIYOTUMIKA KAMA ILIVYOKUWA KWA VITABU VINGINE.

YULE KICHAA AKAONDOKA HUKU AKIMWAMBIA HIKI HUTOKIPATA MPAKA UTAKAPOTIMIZA MAMBO MATATU FABBY ALIONESHA KUSHANGAZWA MNO NA MWISHOWE IKABIDI AANZE KUVITAZAMA VILE VITABU LAKINI JINSI ANAVYOVITAZAMA NDO HAELEWI KABISA NA AKAONA HAKUNA HAJA AKAAMUA KUJILAZA TENA KATIKA KILE KITI CHAKE CHA MALIMBA NA GHAFLA AKASIKIA KAMA HALI YA HEWA IMEBADILIKA GHAFLA YAANI KUKAWA NA HARUFU NZURI NA UPEPO UNAOVUMA TOFAUTI NA AWALI.

FABBY ANASEMA MWANGA ULIOONGEZEKA, HALI ILIYOMPELEKEA KUKAA VIZURI MBELE YAKE AKAMUONA YULE KIUMBE TENA (YULE SISTA) NA AKAMWAMBIA JAMBO FUPI TU KISHA AKATOWEKA, AKAMWAMBIA "FABBY KILA KINACHOTOKEA KWAKO KINA MAANA KWA HIYO ZINGATIA MAMBO MATATU HUKU AKIJIULIZA JAMBO HILO LINA MAANA GANI KATIKA MAISHA YAKE, AKAVITAZAMA TENA VILE VITABU KISHA AKAJIULIZA NI KWANINI YULE KICHAA HAKUMPA KITABU CHA TATU.

BAADA YA MUDA ALITAFAKARI JAMBO FLANI LAKINI HAKUPATA JIBU YAANI KUHUSU HIVI VITATU, AKIANZIA ZIOLE FEDHA MAANA MWANZONI ALIONESHWA NOTI TATU, LAKINI BAADA YA MUDA ALILETEWA DENI LAKE LA HELA IKIWA NI NOTI "TATU" LAKINI PIA HUYU KICHAA KAJA NA VITABU VITATU NA KUMPA VIWILI JAPO CHA TATU ALIKATALIA.

BASI SIKU ZIKAENDA ZIKARUDI NA BAADHI YA VITENDO KUTOKA KWA HUYO SISTA ALIANZA KUVIZOEA KWA KIASI FLANI NA KWA MUDA WOTE HUU FABBY ALIKUWA BADO YUKO KWAO LICHA YA KUWA ANAFANYA BIASHARA ZAKE, LAKINI ILIFIKIA WAKATI AKAONA AMEKUA KIJANA MKUBWA NA AKAONA NI BORA SASA AJITEGEMEE, KWELI ALIONDOKA PALE KWAO AKAENDA KUPANGA MTAA MWINGINE HUKO HUKO MTWARA.

MAISHA YALIENDELEA KAMA KAWAIDA BAADA YA "KAZI " ANARUDI KWAKE KILA ANAPOPATA PESA ANAFIKIRIA NINI AFANYE KWA MAENDELEO YA "CHUMBANI KWAKE " NA HARAKATI NYINGINE ZA KIMAISHA LAKINI KATIKA MUDA WOTE HUO HAKUWEZA KUTAMBUA BAADHI YA MABADILIKO YALIYOKUWA YANATOKEA PALE KWAKE HADI WATU WENGINE HASA MARAFIKI WAKAWA WANAMSIFIA KUHUSIANA NA MAENDELEO YA GHAFLA.

SIKU MOJA FABBY AKIWA KAZINI KICHWA KILIANZA KUUMA ALIVUMILIA BAADAYE YAKAMSHINDA IKABIDI "AFUNGE BANDA LAKE LA MITUMBA AMABAPO VIJANA WA MJINI WANAITA "GOLI LAKE LA MITUMBA" KISHA AKAONDOKA KWENDA NYUMBANI KWAKE NA WAKATI HUO ILIKUWA NI MAJIRA YA SAA 11 JIONI.

ALITEMBEA KUELEKEA NYUMBANI LAKINI BAADA YA MWENDO KIDOGO ALIPOFIKA NJIANI ALISIKIA MUUNGURUMO KAMA RADI KUTOKA JUU ANGANI AKASIMAMA NA KUANGALIA JUU NA WAKATI ANAANGALIA JUU AKAONA WINGU JEUSI SANA KLIMETANDA KATIKATI YAKE KAMA KUNA KITU FLANI KINAWAKA ILA SI JUA.

SASA WAKAKTI ANASHAANGAA HALI HIYO GHAFLA KATIKA KATI YA LILE WINGU AKAONA SURA KAMA YA YULE KIUMBE AKIWA ANANG'ANG'ANA KWENDA KWENYE ULE MWANGA NA UPANDE MWINGINE LILE WINGU JEUSI NALO KAMA LINAZUIA ASIENDE KWENYE ULE MWANGA FABBY AKAJIKUTA ANAZUBAA KUANGALIA LILE TUKIO LA AJABU...WAKATI ANASIMAMA ILI KUSHAANGAA VYEMA ANATOKEA MPITA NJIA MWINGINE NAYE AKIANGALIA KULE ANAPOANGALIA FABBY NAYE AKAUNGANA NA FABBY NA KUANZA KUANGALIA KUNA NINI JAMAA ANACHOSHANGAA LAKINI HAKUWEZA KUONA KITU.

FABBY ANASEMA MWANZONI ALISIKIA YOTE ALIYOKUWA ANAULIZWA NA YULE JAMAA LAKINI GHAFLA HAKUWEZA TENA KUSIKIA CHOCHOTE IKAWA KAMA KAHAMISHWA KIFIKRA.

FABBY ANASEMA AKIWA ANATAZAMA KINACHOENDELEA ANGANI, WAKATI YULE SISTA ANANG'ANG'ANA KUPITA KATIKA LILE DUARA LINALOONEKANA KAMA WINGU JEUSI SANA KULIKO KAWAIDA GHAFLA KATIKA LILE WINGU KUNA VITU VILIFYATUKA VIKAMGONGA YULE SISTA AKAONEKANA KUTUPWA MBALI, YULE SISTA NA HIVYO KUMLAZIMU SISTA KULIA KWA SAUTI AMBAYO FABBY ANASEMA ILISIKIKA KAMA ANALILIA KWENYE UBONGO WAKE HAPO HAPO AKASIKIA MAUMIVU MAKALI KISHA AKADONDOKA CHINI CHALI HUKU MACHO YAKIWA BADO YANATIZAMA YANAYOENDELEA KULE JUU (UKWELI NI KWAMBA KATIKA TUKIO HILO MPAKA YEYE ANADONDOKA CHINI HAKUJITAMBUA ILA ALIAMBIWA BAADAYE.

BASI KATIKA TUKIO HILO ALIMUONA YULE SISTA AKIWA AMEKASIRIKA SANA NA ANALILITAZAMA LILE DUARA GHAFLA KUTOKA ULE UPANDE WA SISTA ALITOKEZA YULE NDEGE TUMBUSI ALIYEMUONA PALE KWAO SIKU ILE YA KWANZA (NI NDEGE JAMII YA MWEWE), YULE NDEGE ALIONEKANA KWENDA KWA KASI KAMA MSHALE KUELEKEA KATIKA LILE DUARA NA SISTA ALIKUWA ANAFUATA NYUMA YAKE MITHILI YA  YA RISASI ALILICHANA LILE DUARA LIKATAWANYIKA KATIKATI NA SISTA AKASOGEA KWENYE ULE MWANGA ULIOKUWA UMEKINGWA NA HILO DUARA AKANYOOSHA MKONO KISHA ULE MWANGA ULING'AA ZAIDI KISHA SISTA NA YULE NDEGE WAKATOWEKA.

BAADA YA KUTOWEKA TU HAPO HAPO FABI AKASHTUKA KAMA ANATOKA USINGIZINI, ANASHANGAA KUKUTA WATU WAMEMZINGIRA KILA MTU AKIONGEA LAKE WENGINE WALISEMA WALIMUONA AMESIMAMA AKIANGALIA JUU KAMA DAKIKA 15 KILA MTU AKAANZA KUJIULIZA HUYU KIJANA VIPI NA KILA WALIPOKUWA WANAMUONGELESHA ALIKUWA AMEGANDA KAMA SANAMU, SO ALIPODONDOKA WENGINE WAKAHISI WENDA ANAKIFAFA LAKINI KILA WALIPOKUWA WAKIMTAZAMA WALA HAKUONSEHSA KUWA NA DALILI ZOZOTE ZA KUWA NA UGONJWA HUO.

FABBY ALIAMKA KUTOKA PALE CHINI LAKINI CHA AJABU ZAIDI KICHWA KILIKUWA KIMEPONA YAANI HATA DALILI ZA MAUMIVU HAZIKUWAPO NA KUJIKUTA AKIINGIWA NA SHAUKU YA KUTAKA KUREJEA TENA KAZINI ILI AKAMALIZIE KAZI YAKE LAKINI AKAONA BASI TU ACHA AENDE ZAKE NYUMBANI AKAJIPUMZISHE.

ALIPOFIKA NYUMBANI KWAKE, AKAFUNGUA MLANGO LAKINI KABLA HATA HAJAINGIA NDANI ALISIKIA HARUFU NZURI SANA, NA ALIPOINGIA NDANI  GHAFLA KWENYE KITANDA CHAKE AKAMKUTA BINTI AMELALA, HEEE!!! AKASTUKA NA KUJIKUTA AKIMUULIZA WEWE NANI NA UMEFIKAJE HUMU" ? BINTI HUYO ALIKUWA AMELALA KIFUDIFUDI KICHWA KIMETIZAMA CHINI ALIONEKANA AKIWA ANAAMKA KWENYE KITANDA HUKU AKIWA KAMA AMEBANWA SANA NA KICHEKO.

BINTI HUYO AMBEYE FABBY ANAMUELEZEA KUWA ALIKUWA NA UZURI USIOELEZEKA BINTI HUYO ALIINUKA NA KISHA KUSIMAMA KARIBU NA KITANDA KISHA AKAMTAZAMA FABBY NA BINTI HUYO AKAMWAMBIA "WALA USIWE NA HARAKA YA KUNIJUA UTANIFAHAMU UKIKAMILISHA MASHARTI MATATU".

FABBY ALIVYOSIMAMA KWA JINSI ALIVYOKUWA ANAONEKANA AKAHISI SIYO BINTI WA KAWAIDA HADI NYWELE KICHWANI ZIKASISIMKA GHAFLA YULE BINTI AKATEMBEA HATUA TATU ZA MBALI MBALI YAANI AKAWA ANAONEKANA AKIPIGA HATUA HAPA NA PALE KULE KISHA AKATOWEKA NA HIVYO KUMUACHA FABBY AKIBAKIA NA UOGA USIO KIFANI NA KUAMUA KUTOKA NDANI FASTA HUKU AKIUBAMIZA MLANGO  KWA NGUVU ALITOKA NA KUKAA NJE YA MLANGO HUKU JASHO LIKIMTIRIRIKA NA ASIJUE NI WAPI KIUMBE HUYO ANATOKEA MAANA MUONEKANO NA MATENDO YAKE NI TOFAUTI KABISA NA YULE KIUMBE MWINGINE ANAYEVAA MAVAZI YA KISISTA.

JE! UNATAKA KUMJUA KIUMBE HUYO MWINGINE AMBAYE ANAMTAJA KUWA NI MTATA KUPITA MAELEZO NA MWENYE MAAJABU MENGI JE! NI WAPI ANATOKEA NA KIPI ANAKUJA NACHO JE! UJIO WA HUYO KIUMBE MPYA UNAKUJA NA SULUHU YA MAISHA YA FABBY AU NDO ANAKUJA NA MAJANGA ZAIDIIII?

KUJUA JUU YA KINACHOENDELEA NDANI YA MKASA HUU SEHEMU YA TATU ENDELEA KUTEMBELEA JICHOLAMDADISI.BLOGSPOT.COM KILA SIKU YA JUMANNE NA IJUMAA... www.jicholamdadisi.blogspot.com



RAY C ARUDI TENA KWENYE KAZI YAKE YA ZAMANI YA UTANGAZAJI.

Ray C akiwa na JB katika maandalizi ya kipindi kipya cha ‘Pamoja Inawezekana’
Ray C kupitia instagram yake amesema: Preparing my TV programme Pamoja Inawezekana, Ray C foundation inawaletea kipindi cha pamoja inawezekana KITAKACHOKUWA KINAZUNGUMZIA NAMNA YA KUJIKINGA MA NA MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA

IMANI ZA KISHIRIKINA ZATAWALA PAMBANO LA WATANI WA JADI.


Katika hali ya kushnagaza leo katika mchezo wa watatani wa jadi  Simba na Yanga kumetokea kituko cha aina yake pale Didie Kavumbagu wa Yanga alipokosa Goli langoni na hivyo kuamua kulichukua taulo la mlinda mlango wa simba Ivo Mapunda na  Kukimbia nalo na kulitupa kwa watazamaji.

Tangu mlinda mlango huyo wa simba toka aliporejea nchini mara kwa mara amekuwa akionekana na taulo ambalo wengi wetu huwa tunaona kama ni kwaajili ya kufutia jasho awapo katika milingoti mitatu lakini kwa wapinzani mara nyingi wamekuwa na imani kuwa ni sehemu ya kuzuia magoli yasiingie langoni mwake.

Baada ya tukio hilo npambano ulilazimika kusimamishwa kwa muda baada ya wachezaji hao kuanza kukamatana jezi huku ivo akionekana kulihitaji taulo lake na Didier akidai kuwa linazuia magoli kuingia langoni mwa wekundu hao ingawa mwishoni Taulo hilo la aajabu lilirudishwa kwa Ivo Mapunda na Mchezo Kuendelea.

mpaka mwisho wa mchezo huo hakuweza kupatikana mbabe na matokeo yakawa ni 1-1 huku goli la Simba likiwekwa kimiani na Aroun Chanongo huku la yanga likiwekwa kimiani na Simon Msuva.


MICHUANO YA BEACH SOCCER KUZINDULIWA JUMAAPILI....BOFYA HAPA



Michuano ya mpira wa miguu ya ufukweni (Beach Soccer) inazinduliwa rasmi keshokutwa (Aprili 20 mwaka huu) kwenye ufukwe wa Escape One uliopo Mikocheni, Dar es Salaam na kushirikisha timu 13.

Uzinduzi huo utaanza saa 5 asubuhi na mechi zitachezwa hadi saa 11 jioni. Michuano hiyo inayofanyika kwa mara ya kwanza nchini inashirikisha timu 13 kutoka vyuo mbalimbali vya jijini Dar es Salaam.

Vyuo hivyo ni Chuo Kikuu cha Ardhi (AU), Chuo Kikuu cha St. Joseph Tanzania (SJUIT), Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es Salaam (TUDARCO), Chuo cha Ustawi wa Jamii (ISW), Chuo cha Uandishi wa Habari Dar es Salaam (DSJ) na Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere.

Vingine ni Chuo cha Utumishi wa Umma Magogoni, Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA), Chuo cha Utawala wa Kodi (ITA) na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT).

Michuano hiyo itakuwa inachezwa Jumamosi na Jumapili kwenye fukwe za Escape One na Gorilla Beach iliyopo Kigamboni, Dar es Salaam.


VIONGOZI UKAWA KUICHONGEA CCM KWA WANANCHI.




SIKU MOJA BAADA YA KUSUSIA VIKAO VYA BUNGE MAALUMU LA KATIBA UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI BUNGENI (UKAWA) UMETANGAZA RASMI KUWA UNAKWENDA KWA WANANCHI KUWASHITAKI WAJUMBE WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) KUHUSIANA NA KILE KINACHOENDELEA BUNGENI IKIWA NI PAMOJA NA KUUELEZA UMMA MSIMAMO WAO DHIDI YA BUNGE HILO.


                                     WAZEE WA UKAWA WAKIJADILIANA JAMBO.

UMOJA HUO UMEDAI KUWA BUNGE HILO LIMEKUWA LIKIPUUZA KILA KILICHOPENDEKEZWA NA WATANZANIA KUPITIA TUME YA KATIBA ILIYOUNDWA NA JAJI WARIOBA.


WAKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI MJINI DODOMA HAPO JANA WAMESEMA KUWA KAMWE HATOHUDHURIA  VIKAO VYA BUNGE HILO MPAKA PALE RASIMU YA KATIBA YENYE MAONI YA WANANCHI ITAKAPOKUBALIWA NA KUANZA KUJADILIWA BUNGENI.


WAKATI HUO HUO VIONGOZI WA UKAWA WAMEGOMEA MIKUTANO YA KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE MAALUMU LA KATIBA LILILOPO CHINI YA MWENYEKITI WAKE NI SAMUEL SITTA AMBAYE ALIITISHA MKUTANO HUO ULIOKUWA NA LENGO LA KUSAKA MARIDHIANO.
 

NAYE MWENYEKITI WA CHAMA CHA WANANCHI CUF PROFESA IBRAHIMU LIPUMBA AMESEMA KUWA WAPO TAYARI KUACHANA MKUTANO HUO ENDAPO WAJUMBE WALIO WENGI WATAENDELEA KUDHARAU RASIMU YENYE MAONI YA WANANCHI, AMBAYO KISHERIA NDIYO INAYOTAKIWA KUJADILIWA KATIKA BUNGE HILO NA SI VINGINEVYO.


MNAMO APRIL 16 UMOJA HUO UNAUNDWA NA JUMLA YA WAJUMBE 190 WALITOKA NJE YA UKUMBI WA BUNGE NA KUTANGAZA KUSUSIA VIKAO VYA BUNGE HILO VINAVYOENDELEA MJINI DODOMA.

MWISHO........
 
Designed By | Wishes co |
Copyright © 2014. Jicho La Mdadisi - All Rights Reserved
Template Modify by
Proudly powered by Wishes INK