`

Home » » MSANII WA HIP HOP "LORD EYEZ" AKWIBA TENA.

MSANII WA HIP HOP "LORD EYEZ" AKWIBA TENA.

Mwaka jana ni mwaka ambao memba wa kundi la Weusi ambaye aliwahi kuwepo Nako 2 nako Lord Eyez,kuhusu kuhusishwa na wizi wa mali za msanii mwenzake Ommy Dimpoz,sasa hii imetokea Arusha kwenye wizi unaomhusisha tena Lord Eyez,

akizungumza na kipindi cha amplifire kinachorushwa na radio clouds msemaji wa kundi hilo Nick wa Pili amesema kuwa kufuatia tukio hilo kampuni ya weusi imesimamisha kushiriki katika shughuli zote zinazohusiana na kundi hilo kwa kipindim kisichojulikana.

Wakati huo huo aliyewahi kuwa mpenzi wa mawanamuziki huyo Rehema Chalamila katika ukurasa wake wa Twitter amemtaka mwanamuziki huyo kubadilika kwani yeye bado umri wake ni mdogo na pia unamruhusua kuendeleza kipaji chake alichonacho.



                           MWANAMUZKI WA KUNDI LA NAKO 2 NAKO NA WEUSI KUTOKA JIJI ARUSHA LORD EYEZ

0 comments:

Post a Comment

 
Designed By | Wishes co |
Copyright © 2014. Jicho La Mdadisi - All Rights Reserved
Template Modify by
Proudly powered by Wishes INK