Aliyewahi kuwa kocha wa timu ya soka ya Ruvu shooting Charles Bniface Mkwa ameanza rasim leo kazi ya kuifua kikos cha vinara wa ligi kuu soka tanzania bara dar young afrikans yeneye maskani yake mtaa wa twioga na jangwani katika mazoezi yaliyofanyika leo katika uwanja wa kijitonyama jioni ya hii leo.
kocha mkwasa kushoto mwenye jezi ya bluu akiwapatia somo wachezaji wake
0 comments:
Post a Comment