Gari hiyo ya polisi iliyokuwa imebeba mapolisi na ilikuwa inaelekea kongwa imegongana na basi ya Mohamedi katika eneo ambalo ni nje kidogo ya mji (Mitumba) ambapo wanawake wawili na wanaume wa tatu wamefariki papo hapo.
(PICHA) ZA GARI LILILOBEBA ASKARI HAO LIKIWA KATIKA HALI MBAYA
GARI WALILOPANDA ASKARI HAO LIKIWA NYAKA NYAKA
0 comments:
Post a Comment