Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Ndugu Phillip Mangula mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Songwe tayari kwa maadhimisho ya sherehe za miaka 37ya kuzaliwa Chama Cha Mapinduzi.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Mbeya Mjini Ndugu Ephraim Mwaitenda kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe mkoani Mbeya.
Boda Boda zikiongoza msafara wa Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete aliyewasili mkoani Mbeya kwa ajili ya sherehe za miaka 37 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete(katikati) akiwa kwenye ukumbi wa mikutano wa CCM mkoa wa Mbeya tayari kuongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya mkoa wa Mbeya.
0 comments:
Post a Comment