Chuji alikuwa mwenye furaha sana na aliwapungia mkono mashabiki kuwapa ishara ya kuomba msamaha, kufuatia kusimamishwa kwa zaidi ya mwezi mmoja kwa tuhuma za utovu wa nidhamu.
Mashabiki walimfurahia sana mtaalamu huyo wa pasi 'zenye macho' alipotokea Taifa.
0 comments:
Post a Comment