`

Home » » UONGOZI MPYA TFF WATIMIZA SIKU MIA MOJA SOMA ALICHOKISEMA RAIS WA TFF JAMAL MALINZI.

UONGOZI MPYA TFF WATIMIZA SIKU MIA MOJA SOMA ALICHOKISEMA RAIS WA TFF JAMAL MALINZI.

Rais wa shirikisho la mpira miguu (TFF) Jamali Malinzi hii leo alikuwa na mkutano wandishi wa habari kuwaeleza kile kilichofanywa na uongozi wake tangu aingie madarakani katika uchaguzi uliofanyika october 27 mwaka jana  ambapo ameelezea changamoto alizokutanazo tangu awepo madarakani ambapo changamoto kubwa ilikuwa ni tiketi za elecritronic.
 
malinzi amesema mkataba walioingiua uongozi wa Tenga aliyemaliza muda wake ulikuwa na mapungufu kutokana na kuitaka TFF kusimamia sehemu kubwa ya mzigo wa kuendesha mradi huo ambapo unaonekana kama mzigo mwingine kwa vilabu na shirikisho hilo.
 
RAIS TFF JAMAL MALINZI

0 comments:

Post a Comment

 
Designed By | Wishes co |
Copyright © 2014. Jicho La Mdadisi - All Rights Reserved
Template Modify by
Proudly powered by Wishes INK