`

Home » » ATC YAREJESHA HESHIMA NI BAADA YA KULETA NDEGE MPYA.... SASA KAZI KWENU WASAFIRI

ATC YAREJESHA HESHIMA NI BAADA YA KULETA NDEGE MPYA.... SASA KAZI KWENU WASAFIRI

 Air Tanzania jana usiku wameleta ndege nyingine   5Y-WWA aina ya CRJ200  ikiwa ni muendelezo wa kuboresha huduma zao za anga nchini Tanzania.

                                Ndege 5Y-WWA mpya aina ya CRJ200 iliyowasili usiku wa jana
                                          katika mwonekano mzuri baada ya kutua
                          wafanyakazi wa uwanja wa ndege katika pilika pilika za ujio wa ndege hiyo mpya

                                               Jinsi inavyoonekana kwa ndani raha tupu


Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL, Captain Milton Lazaro akisalimia wana-Air Tanzania waliofika kuulaki ujio huo

 wahudumu katika ndege hiyo wakizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL, Captain Milton Lazaro


                                      wahudumu wakionekana wanadhifu wakati wa ujio wa pipa hilo

0 comments:

Post a Comment

 
Designed By | Wishes co |
Copyright © 2014. Jicho La Mdadisi - All Rights Reserved
Template Modify by
Proudly powered by Wishes INK